Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mume na mkewe?.​

Mume akamwambia mke wake:
“Funga macho yako tufanye maombi”

Akaanza kwa Kimombo:-
“…Ooh Lord, I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…...”

Mke akadakia, “Unaniringishia unadhani mimi sina eeeh” akaanza:-
I pray 4 Felix, I pray 4 Temu, I pray 4 Rweyemamu, I pray 4 Masawe, I pray 4 Benson, I pray 4 Onyango, I pray 4 Swai, I pray kwa wote niliowasahau!!

Ikawa ni ligi ya michepuko..!!!
 

Jamaa bahili kamtoa mke wake out..​

Jamaa: chips kuku bei gani?

Mhudumu: elfu 8
Jamaa: chips yai je?
Mhudumu: elfu 3

Jamaa : ziina kachumbari?

Mhudumu: ndiyo

Jamaa: Kachumbari mnauzaje?

Mhudumu: Kachumbari ni bure.

Jamaa: Eewaaa, ok, basi naomba leta kachumbari sahani mbili, chips ziache tuuu..
 
FB_IMG_16627542336339678.jpg
 
Back
Top Bottom