Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,376
Umenikumbusha mbali sana
Wacha wee...huna kazi ya kufanya?
Nawe kwa kujifanya mhenga hujambo 😁😁😁Umenikumbusha mbali sana



Watu mlioko Daslama mnadhani hayo mawe yalitumika old stone ageNawe kwa kujifanya mhenga hujambo![]()

wakati mama yangu hadi leo analoWewe tozo hazikuumizi?hasira zote kumbe tatizo luku
Mimi hata sijui bwanaWewe tozo hazikuumizi?


kukicha namshukuru Mungu, siku ikiisha napumzisha fuvu yaani niponipo tu kama msukule