Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Mmeshaambiwa kuwa mkiona mambo yanazidi mnaweza kuhamia Burundi. Tozonia!Tutafanyaje sasaView attachment 2341109
Mmeshaambiwa kuwa mkiona mambo yanazidi mnaweza kuhamia Burundi. Tozonia!Tutafanyaje sasaView attachment 2341109
Mkwara wa babu
Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.
Akasimama katikati ya Gari-Akatangaza; “Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977″
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na kuomba msamaha!
Abiria mmoja akauliza:: Mzee, Kwani 1977 Ulifanya tukio gani?
Babu: Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!


Hahahahah Mimi sikuwezi wewe. Mkeo Ana tabu😄😄😄Tena hapo ukute sasa ule utelezi ulishanasia nasia kwa kyupi so ikiwa unamvua kamba ya utelezi inatokea kati ya mbususu na chupi...🤣🤣🤣🤣 Hapo ndio de libolo linasimama zaidi
Mie nipo kwenye ile "hakuna kuoa" groupHahahahah Mimi sikuwezi wewe. Mkeo Ana tabu😄😄😄
Eeeh kumbe nawe upo kule eeh . Oa bhana usiwasikilize walee wanakudanganya. Utakosa huduma muhimu ohoooMie nipo kwenye ile "hakuna kuoa" group
Eeeh kumbe nawe upo kule eeh . Oa bhana usiwasikilize walee wanakudanganya. Utakosa huduma muhimu ohooo
Hana mpango wa kunyonyesha
Pozi la sensa
Hapo unawachanganya wanaotaka hakisawa watakuambia kuna jeki![]()
Sent from my Huawei mate 9
Na mumewe je?
Na michepuko yake je?


hao ni watu wazima watachagua kusuka au kunyoa
Men be men 4ever..More than asses?
View attachment 2340911
