Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huyu mthungu au mwafrika kivuli kinanichanganya
20220831_191233.jpg
 

Mkwara wa babu​

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasimama katikati ya Gari-Akatangaza; “Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977″

Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na kuomba msamaha!
Abiria mmoja akauliza:: Mzee, Kwani 1977 Ulifanya tukio gani?
Babu: Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
 
Back
Top Bottom