Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Baba na Mama

DOGO: Mama, jana Baba Alikuja Na Mmama mwembambaaa Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Bebii...
BABA: (Kwa Hasira) Ebu Wacha Kuongea Na chakula Mdomoni Wewe Mpumbavu Sana Khaa!!!
MAMA: Eti Nini Hebu Endelea Mwanangu Alafu
Wakafanya Nini Hawa nguruwe…?
DOGO: Wakaanza Kufanya Kama Vile Mlifanya wewe Na Anko nassoro Wakati Baba Alikua Safari Dodoma...
MAMA: (kwa Hasira) Babako kashasema Uwache Kuongea Na chakula Mdomoni We umbwa..!
 

Baba na Mama

DOGO: Mama, jana Baba Alikuja Na Mmama mwembambaaa Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Bebii...
BABA: (Kwa Hasira): Ebu Wacha Kuongea Na chakula Mdomoni Wewe Mpumbavu Sana Khaa!!!
MAMA: Eti Nini Hebu Endelea Mwanangu Alafu
Wakafanya Nini Hawa nguruwe…
DOGO: Wakanza Kufanya Kama Vile Mlifanya wewe Na Anko nassoro Wakati Baba Alikua Safari Dodoma...
MAMA: (kwa Hasira): Babako kashasema Uwache
Kuongea Na chakula Mdomoni We umbwa..!
haya mambo tunajiletea stress wenyewe tuu ila kiukweli tunge kuwa tunapwana tuu mbusussu na de libolo tuburudike bila kuwa na huu uongo wa kusema eti yako peke yako
 
Screenshot_20220728-132746.jpg
 
Mwanamke mmoja Nairobi ameamriwa na Mahakama ya Madai Ndogo ya Milimani kumlipa mpenzi wake Kshs 23,750 baada ya kumtumia Kshs 3,000 kulipia teksi kuhudhuria sherehe ya kuzaliwa kwa mwanamume huyo lakini bibi huyo hakutokea na badala yake akazima simu yake.

Mwanamume huyo alienda kwa mahakama ndogo ya madai na kufungua kesi hiyo
pamoja na ushahidi ambao ni pamoja na taarifa yake ya M-pesa na gumzo la WhatsApp kati yake na bibi huyo kabla na baada ya kutuma pesa hizo baada ya bibi huyo kupuuza jumbe zake na kisha kuzima simu yake.

Mwanamke huyo aliamriwa amrudishe mwanamume huyo Kshs 3,000 pamoja na riba ya Kshs 750 na fidia ya Kshs 20,000 zaidi kutokana na uchungu wa kihisia aliopitia.

Mwanamke huyo alizuiliwa akisubiri malipo ya uharibifu na familia yake.


Wala nauliii
Screenshot_20220728-141327.jpg
 
Back
Top Bottom