Lugha ya Mungu....
Aisee.Niliwahi funga safari kutoka Tz-Butare(Rwanda), kufika kule manzi anasema hatuwezi Sex, na kweli akakaza, nikarudi na maumivu tu, mpaka Sasa sio wangu tena
It is rough out there. Ukizubaa unaweza kuoa mtu mwenye body count hata 100!
UKIMWI wa hivi kweli bado upo?





Sikuhizi watu hawajali aisee, vitu vinapigwa rawUKIMWI wa hivi kweli bado upo?
Naona watu kama hawajali vile!






