Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna KABILA ambalo ASALI huita jina linalofanana na SEHEMU ZA SIRI wacha nikufahamishe:-
Kabila hilo lipo barani Afrika tena Afrika Mashariki,
Kabila hilo lipo Afrika Mashariki tena nchini Tanzania,
Kabila hilo ASALI inajulikana kwa jina la WUCHI



,
Ndio, sijakosea inaitwa WUCHI na rudia inaitwa WUCHI




,
Kabila hilo sio lengine ni kabila la WAGOGO,
Kabila la WAGOGO ASALI inaitwa WUCHI ndio WUCHI




,
Sio UCHI ni WUCHI maana yake ndio hiyo ASALI




,
ASALI kigogo ni WUCHI na WUCHI ni ASALI






,
Kwahiyo Huyo dada hapo chini anakula WUCHI nadhani umenielewa


,
Kama unadhani nasema uongo muulize mgogo hapo,
.
View attachment 2294212