Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_3778022532022423951.jpg
 
Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna KABILA ambalo ASALI huita jina linalofanana na SEHEMU ZA SIRI wacha nikufahamishe:-


Kabila hilo lipo barani Afrika tena Afrika Mashariki,

Kabila hilo lipo Afrika Mashariki tena nchini Tanzania,
Kabila hilo ASALI inajulikana kwa jina la WUCHI,
Ndio, sijakosea inaitwa WUCHI na rudia inaitwa WUCHI,
Kabila hilo sio lengine ni kabila la WAGOGO,
Kabila la WAGOGO ASALI inaitwa WUCHI ndio WUCHI,
Sio UCHI ni WUCHI maana yake ndio hiyo ASALI,

ASALI kigogo ni WUCHI na WUCHI ni ASALI,


Kwahiyo Huyo dada hapo chini anakula WUCHI nadhani umenielewa,
Kama unadhani nasema uongo muulize mgogo hapo,
.View attachment 2294212
Ebu eleza kidogo na akina mboro kule uchagani, wapo?
 
Back
Top Bottom