Binadamu bwana. Kwani angemuacha tu akaenda angepungukiwa na nini? Huwa tunajikosesha mibaraka bure tu wakati mwingineMajanga !
Dada Huyu ameenda saloon akiwa na mpenzi wake, gharama za kutengeneza nywele zikawa ni kubwa Sana ila mwanadada hakujali akajiweka kwa hairdresser ,
jamaa kuona hivyo akaaga Kuwa anatoka kidogo atarudi demu aendelee kutengenezwa nywele. Kumbe jamaa ndio alisepa moja kwa moja hakurudi tena.
Muda kuona unapita jamaa hapokei simu demu kachanganyikiwa, hairdresser akachukuwa mkasi na kufumua kichwa cha huyo mrembo Kama anavyoonekana !
Vijana Mungu anawaona
Wanaume tunaroho mbaya sana, kama unajua kua hauna hela unampelekaje mtoto wa watu saloon?
Angalia huyo msusi anavokata izo nywele, yaani kamuacha na kiparaView attachment 2293927
Wewe wacha kupindisha mada, olewa weye mtoto wa kikeAshura hajambo?