Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1658044208600.jpg
 
Majanga !
Dada Huyu ameenda saloon akiwa na mpenzi wake, gharama za kutengeneza nywele zikawa ni kubwa Sana ila mwanadada hakujali akajiweka kwa hairdresser ,

jamaa kuona hivyo akaaga Kuwa anatoka kidogo atarudi demu aendelee kutengenezwa nywele. Kumbe jamaa ndio alisepa moja kwa moja hakurudi tena.

Muda kuona unapita jamaa hapokei simu demu kachanganyikiwa, hairdresser akachukuwa mkasi na kufumua kichwa cha huyo mrembo Kama anavyoonekana !

Vijana Mungu anawaona

Wanaume tunaroho mbaya sana, kama unajua kua hauna hela unampelekaje mtoto wa watu saloon?

Angalia huyo msusi anavokata izo nywele, yaani kamuacha na kipara
FB_IMG_1658046269657.jpg
 

Mlolongo wa michepuko:​

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..

BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……
.
giphy.gif
 
Back
Top Bottom