Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20220712-233819.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mbele ya pesa binti kaweka kando usharobaro !​

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. K. A dope girl
Boy:-duh.. Okay, nmekutumia 50,000 nimeona Jina tofauti ngoja kwanza nipige customer care chap!
Dem:-no, no baby usipige, ah ah Hapana baby, Kwa kweli mi naitwa Andongolile Mwakasakafyuko 😂😂😅😅
 

Matatizo:​

Swali: Matatizo ni nini?
Jibu: Matatizo ni pale unapomaliza kupewa adhabu Kali na mwanajeshi, anakuruhusu uondoke, unawasha pikipiki, unamtukana tusi baya kabla ya kuondoka mbio, mara ghafla pikipiki inazimika🙄
 

Usaliti​

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa.. kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni walitembelea ofisi yetu
MKE: Na hii kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee.. wacha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee.. wacha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi!
 
Back
Top Bottom