Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,375
Duuu!!!Mi maneno mengi tu mitandaoni humu Mkinga lakini siyo shabiki sana wa haya mambo. Niko very loyal nikiwa na mtu kamwe sichanganyi madesa. Niko zaidi kwenye kuinjoi maisha, upendo na urafiki.
Kati ya hao wanne kuna wengine tulidumu miaka mpaka mitano, wengine mpaka kukaribia ndoa lakini mambo hayakwenda...wengine wakanipa na katoto. Mimi nikikutamkia kuwa nakupenda ndo imetoka hiyo labda uje utibue mwenyewe tu...Tena ukiwa na tako uwiii! Siendi po pote ng'o!
Nije PM nikwambie kitu?![]()



Thate fest juni!!!



KhaaaMbona wasilete bulb ya black, mtu akitaka kulala mchana anaiwasha giza inajaa kwa nyumba?![]()



Khaa kadri unavyoangalia wanazidi kuongezeka
Whaat..Duuu!!!![]()
Utakuja ukose zawadi kizembeee!Khaa kadri unavyoangalia wanazidi kuongezeka






Utakuja ukose zawadi kizembeee!![]()



nikitaja idadi kuna zawadi eti.?8... Nangoja zawadi yangu


Kwani mimi natoaga homuweki za bure?nikitaja idadi kuna zawadi eti.?