"Atake Asitake Tutamlazimisha "Najutia kutoa kauli kama lile Coz sikuwa tayari kusema yale maneno ila Shemeji yake Yesu ndo alinishawishi nianze kusema yale maneno ila kwa kweli Najutia sana, Sikuweza kurudi kwenye nafasi yangu Coz nimepigwa chini Sasa hivi watu wamenipa Jina hilo la Atake Asitake Tutamlazimisha
View attachment 2271054