Mimi hata demu akinichora jina hivi, swali la kwanza namuuliza jinsia ya mchoraji. Akijibu tu, huo ndio mwisho wa penzi.
Ndiyo mkuu,we unanionaje? Nina mwili wa kulalalalaVigimbi kwani wewe ni mkimbiaji
Sawa bwana...gud morning teacher. Lesson ya leo ni nini?Ndiyo mkuu,we unanionaje? Nina mwili wa kulalalala
AmenAhsante MunguView attachment 2268347
Itabidi umchore mwenyeweMimi hata demu akinichora jina hivi, swali la kwanza namuuliza jinsia ya mchoraji. Akijibu tu, huo ndio mwisho wa penzi.

Mkuu lazima nipate visa niende huko nione nafanyaje hiki kidole, siwezi kulala njaa wakati utajiri nakanyagia vidoleniUkipata niite mimi umbwa niko nimekaa pale nakusubiri.![]()


Wanawake sikuhizi mnatuweza