CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 18,226
- 34,340
Ndiyo akome kula vya watu
Ndiyo akome kula vya watu
Hiyo form six ni urithi,naikumbuka kwenye yale ya Chamwino
Ndio raha ya pesa yaani wanawake wanajleta wala hawajali kuwa unawagegeda wote...jamaa kachukua full spectrum...flat screen hadi yutong
Kila mja atakula kwa urefu wa kamba yake

Pombe imempa ujauzito?





