Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16537611786669625.jpg
 
Kutana na kabila la Dani huko Papua Guinea, Indonesia

Katika ndoa, mwanamume lazima akate kidole cha mkono wake wa kulia na kumpa bibi arusi kama mahari yake.

.na akitaka kumpa talaka hukatwa vidole viwili vya mkono wake wa kushoto, lakini akifa mkewe hukatwa vidole kumi vya mikono yake ikiwa ni ishara ya uaminifu kwake na kwamba hataolewa na mwanamume baada ya yeye.

Ukioa, ukiachana au ufe... kuna vidole vinapaswa kukatwa.

#Moyowangu
FB_IMG_1654954508006.jpg
 
Back
Top Bottom