Kutana na kabila la Dani huko Papua Guinea, Indonesia
Katika ndoa, mwanamume lazima akate kidole cha mkono wake wa kulia na kumpa bibi arusi kama mahari yake.
.na akitaka kumpa talaka hukatwa vidole viwili vya mkono wake wa kushoto, lakini akifa mkewe hukatwa vidole kumi vya mikono yake ikiwa ni ishara ya uaminifu kwake na kwamba hataolewa na mwanamume baada ya yeye.
Ukioa, ukiachana au ufe... kuna vidole vinapaswa kukatwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.