Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16540854280170466.jpg
 
Me naona ukitaka msaidia mtu unamsaidia tu bila kutarajia lolote kutoka kwake, unaweza umsomeshe mchumba wako bila kuweka matarajio makubwa kwake maana yy pia n mwanadamu anaweza badilika.

Kama unawiwa kumsomesha, kumfungulia biashara, kumjengea, kumnunulia gari. Ww fanya kwa moyo wote bila kutarajia lolote kutoka kwake, unaweza fanya hivyo pia ikawa n msaada tu kwake na mume wake ww unakuwa kama daraja, tuna la kujifunza hapa "ukiwiwa kufanya fanya, bila kuwa na matarajio makubwa sana kutoka kwake"
Hakika
 
Back
Top Bottom