Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,204
- 40,642
Hii imekaaje
Na anamtapikia dereva
Sasa sijui ukweli ni upi?Hii imekaajeView attachment 2228887
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamn embu mtuwache
Jamani leo ndo ile siku Stella amerudi kutoka Japan akiwa amebeba mtoto mkononi na mume wake futi 4 kwenda juu, kwa tuliokuwepo 1992 naamin tunakumbuka jinsi Stella alivyotufedhehesha pale airport.jamn embu mtuwache
Me naona ukitaka msaidia mtu unamsaidia tu bila kutarajia lolote kutoka kwake, unaweza umsomeshe mchumba wako bila kuweka matarajio makubwa kwake maana yy pia n mwanadamu anaweza badilika.Jamani leo ndo ile siku Stella amerudi kutoka Japan akiwa amebeba mtoto mkononi na mume wake futi 4 kwenda juu, kwa tuliokuwepo 1992 naamin tunakumbuka jinsi Stella alivyotufedhehesha pale airport.
Tunapomkumbuka tukumbuke mchumba hasomeshwi.
Kama bango la BP miaka yetu sisi wakongwe
Kipanya yupo vizuri sana,mtu kaiba Billion 50,anahukumiwa miaka mitano jela au faini la milioni 5
Kakukupa deal, baadaye atakupigia magoti ukiuza tikiti
Absolutely 💯
Kujiokoa na hizo typing errors za Simu rekebisha keyboard yako hayo madhira utasahau