adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,517
- 33,686
Nikimaanisha maisha baada ya kifo kujipanga kwa kufanya vitendo bora na vizuri zaidi hapa duniani.Kwenye kifo kuna kujipanga?![]()
Nikimaanisha maisha baada ya kifo kujipanga kwa kufanya vitendo bora na vizuri zaidi hapa duniani.Kwenye kifo kuna kujipanga?![]()
Pisi inakula kama
bataWe bageshi unakulaga slices ngapi? Mbona sasa hunenepagi?Weeee labda wa mjini![]()







Ni kulea ndiyo. Tena kulea limsambwanda yaweza kuwa ni kazi ngumu zaidi kuliko hata kulea mtotoNayo si ni kulea au![]()






Huoni kaweka avatar ya Love. Kauza kiwanja kazama katika penzi la supa dupa yutong huko mjini. Ataonekana hela zikiishaNamtafuta babu yangu,haonekani tokea juzi,alivyouza kiwanja hajarudi nyumbaniView attachment 2231894
Sent using Jamii Forums mobile app





Hivi kumbe kuna za kutengeneza? Hata mimi nilikuwa nashangaa. Dimples gani hizi?
Wanatengeneza,yaanj ni kafasheni kalikoingia mjini sasa,kuwa na dmp sijui wanaonajeHivi kumbe kuna za kutengeneza? Hata mimi nilikuwa nashangaa. Dimples gani hizi?
Nilijua tu,maisha yote huko kwa supa dupaHuoni kaweka avatar ya Love. Kauza kiwanja kazama katika penzi la supa dupa yutong huko mjini. Ataonekana hela zikiisha
Asante mjukuu mwema![]()

Nimebakiwa na laki moja. Kesho nageuza kurudi home Misungwi nisije nikala mpaka nauli. Supa dupa yutongs zinakula hela kama mchwa!
Naweza ht nikamaliza mkate mzimaWe bageshi unakulaga slices ngapi? Mbona sasa hunenepagi?![]()


.