Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,297
- 21,699
Labda wa chini chini eeh.Una viukorofi korofi fulani fulani vya chini chini basi tu![]()
Ila mpoleee sanaaaa.
Labda wa chini chini eeh.Una viukorofi korofi fulani fulani vya chini chini basi tu![]()
Juzi nmemuona da dera na mtandio fresh.

Pombe siyo supuAnatafuta nini?

Halafu uko lizuri kama li malaika sasa uwiii. Wanawake wa kishombe nyie mkiamua kuwa warembo mnakuwa warembo kweli si utani yaani!Labda wa chini chini eeh.
Ila mpoleee sanaaaa.
Labda fundi bombaSwali langu moja tu!
Hio picha nani kapiga???!![]()





Mkuu una nini leo?😂
tumekaa km maembe😁
Unafikiri ndo katongozwa leo hii hii kwenye mazishi ya mumewe na kuvishwa pete leo hii hii?![]()


mimi nasoma nilicholetewa hapa bwana ngosha usitake kufukunyua tusiyoyajuaAmekwambia amewabebea watoto? Hapo ukute kuna mtu kamwambia ' beib nataka nikasuke'