He hasn't won shit!![]()


mbona unamkatisha mtu tamaa Ngosha tabia hiyo umeianza lini?
Kuanzia hapa picha kwangu hazifunguki. Kuna tatizo gani wakuu?
Enzi za jpm leo msigwa angetoa taarifa kwa vyombo vya habariTayari mgogoro mkubwa wa kifamilia nauona hapa. Kwa nini mwingine hajamechisha na mumewe? Wote ilibidi wavae bluuuu...
View attachment 2221919


