Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Gojazi
Uko deep na haya mambo eeeh!






Halafu nimepitwa na kila kitu kule yaani. Nimekuta tu watu wanasifia. Nifanyie wepesi basi jamani kama inawezekana?![]()

sasa si ungeniquote kule lkn.Huku nimeona eti ndo nimepatiapo kaupenyo. Akili zangu nazijua mwenyewe tu sometimes













Ni kamguu tu rafik afu kapo kule juu.Huku nimeona eti ndo nimepatiapo kaupenyo. Akili zangu nazijua mwenyewe tu sometimes
Sasa kuna kawepesi unanifanyia au ndo kwishnei?![]()
Kwenye harusi yako usialike marafiki ambao ni vyombo kukuzidi wewe. Period!
Haya haina neno furendi...
Umekaona?Haya haina neno furendi...
Just stay blessed and enjoy every moment of your life....
Sawa sawa.Kwenye harusi yako usialike marafiki ambao ni vyombo kukuzidi wewe. Period!
Hapana. Sijaenda hata kutafuta


