Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20220510_231612_149.jpg
 
UDSM kilikuwa chuo kinachoheshimika sana. Wakati ule akina Walter Rodney wanafundisha hapo. Akina Neto, Frantz Fanon, Amilcar Cabrar na wana wengine wa Afrika wanakuja kutoa mihadhara hapo. Ilikuwa ukisikia profesa kweli ni profesa; na ukumbi wa Nkrumah ulikuwa ni ukumbi 'mtakatifu'

IMG-20220510-WA0099.jpg
 
Back
Top Bottom