Vituko mitandaoni. Tupia chako

D
Duu! Polisi wameibiwa?!
 
Kwahiyo hizo computer ndizo zilikuwa zikihifadhi yale mabilioni ya wale tulioambiwa ni mafisadi

Kweli nimeamini watz ni tunazo haki zote za kuitwa vilaza

Itabidi watu wafanyakazi wote kwenye hiyo ofc ya DPP wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi
 
Kwanini taarifa hizo zisihifadhiwe kwa njia ya cyber??

Au kampuni ilikua haina mbs??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…