Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

On
Imenikumbusha mbali aisee.niko zangu darasa la 1 2 hivi,siendi shule mpaka nile hiyo.
mama alikuwa anapika vitumbua kwahiyo uhakika asubuhi kula.vingine ananipa naweka kwenye begi na madaftari humo humo Sina habari na kwa sababu nilikuwa sitaki kuchelewa basi naweka vya Moto hata havijachuja mafuta.siku madam anakagua madaftari mafuta ya kula tupu yani dah.
 
.
Screenshot_20220426-131012_WhatsApp.jpg
 
View attachment 2201431



all in all..............tuutakie uzi wa Vituko Mitandaoni a Happy Union Day

sasa waweza nunua na kuuza kupitia PwaniPlatforms

Charaza......

www.pwaniplatforms.com

sasa kuweza kufanikisha!!!

kwa tatizo lolote wasiliana na Mshana Jr

you are all welcome......

mawardat Sky Eclat Kasie CONTROLA Farolito mzabzab Shimba Ya Buyenze Kirokonya mkwepu jr T 1990 ELY Pabloz Latvia mkorinto Ivyblue Bujibuji Simba Nyamaume


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mombasa at 9am shops are yet to be opened. When you ask residents they'll answer you "Dah kumamake huyu yuadhani Mombasa mji wa bidii,hapa Raha tu nyonyo. Kama wataka bidii kapeleke Busia au Kakamega."
unajua mama yangu anaitwaje?? .......kati ya hiyo miji uliyoitaja hapo chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom