Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Mbinga to maguuDar to mbingaView attachment 2185531
Maisha Mtumishi 🙏🙏Ungangari na uchuma cha Mjerumani ulimwanzia wapi huyo mke? Ni nini kilitokea mpaka akaachana na haiba yeke njema iliyompambanua wakati wa ujana wake? Au tuwalaumu mabaharia waliomngangarisha? Naam! Maisha na mapenzi - mnyororo wenye pingili nyingi. Ua waridi lenye fumbo. Rosa Mistika!
View attachment 2188727
Kwendraaaaa na miyutong yakoHapanaaaaaa!
Kisirani si kisirani...
Kiburi si kiburi....
Gubu si gubu....
Hasira si hasira....
Ukitaka uinjoi maisha kwa mwanaume get yourself a mid-range Yutong....
Shwain zenuMy rear view mirror?
View attachment 2188739
Jamaa amesema ukweli....tuna cuddle kidogo alafu kila mtu upande wake...nikikugusa tena ujue ndio nataka izamisha hivyoo
Love connectEti mnatoana wapi View attachment 2188794
Alafu ndio wanasema they dont like to share🤣🤣🤣🤣🤣 kuweni huruu nyie mnajipa pressha za bure tuu