Hujamsikia yule mbunge wa kule iringa...au mama yetu anadanganya?Usikariri
Hata utume ujumbe MZURI kivp naupendea moyoni tu ILA sio kulikeUlikuwa mgumu![]()
Nilishakumaundi sana kwa tabia yako hii basi tu. Uko poa?Hata utume ujumbe MZURI kivp naupendea moyoni tu ILA sio kulike



Mnawadekesha. Hapo unamfinya hasa na hatarudia tena...lakini sasa akina junia hawa mabroila wa kisasa hawa. Hapo atabembelezwa weee kesho na kesho kutwa unamsikia dadi jomoni mimi sitaki tyuuu keshaharibika



Niko poa ILA kuanzia leo ntakua nalikeNilishakumaundi sana kwa tabia yako hii basi tu. Uko poa?![]()

Uchoyo wa Kipare usisingizie eti unakonfyuzi watu



I will be watching you closelySiku hizi nami najifunza kulike eti![]()



Worry out about that
Hata staili ya kunyanduana ni kifo cha mende pekee. Ukitaka staili zingine inabidi aende akaulize kwa mchungaji. Na mchungaji akitaka kumla anamla tu bila wasiwasi.
Worry out hata hiyo post uliyoikwoti hujai-like. Wataka viboko ama?Worry out about that

Twende taratibu mkuu ndio najifunza eeWorry out hata hiyo post uliyoikwoti hujai-like. Wataka viboko ama?![]()


Nausubiria zawadi yangu


..@Taavid natumai uko Poa kabisa