Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 14,981
- 35,099
Huyu James ndo nani hasa?sometime anaongea point
Huyu James ndo nani hasa?sometime anaongea point
Huyu ni mtalaam wa photoshopHuyu James ndo nani hasa?sometime anaongea point
Add apo..
Jamaa anachukua picha kijanja sana



Baharia hapo anasema yako wapi sasa?
Mama yangu kanitukana "You're the son of bitch" kwakua mimi sipendi mtu amtukane vibaya mama yangu nilimchapa makofi mama, kwakua siko tayari kumuona mama yangu anapigwa na mtu ilibidi nijichape mpaka nikalia. Mama kuona vile alikuja akanichapa sana kwakua hawezi vumilia kuona mimi mwanae napigwa na mtu mwingine. Namimi kwakua sipendi kupigwa na mtu nilimchapa sana mama kwakua kanipga
....















.#KisulisuliView attachment 1235241