Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383





Ushindweee!
Nshabadili upepo nina mwaka na nusu sasa. Kumbe tutamu sana na watu hawasemi tu![]()


Baada ya kushiba futari nikakumbuka zamani wakati tunaanza kumiliki simu tulikua tunapiga namba 11111111111 tunaambiana ni za majini. Na kweli wakipokea wanaanza kututisha Ila mpaka leo cjui walikua ni kina nani wale
Mda mwingine walikua wanaunguruma kama mashetani vle





Na wanasema na ukipigiwa usipokee