Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,698
Hahahahaatamiu teboView attachment 2164058

Ebwana hii kitu ipo kweli, nimekuja kikazi mkoani huku hapa jirani na nilipofikia kuna mtu alipandisha masheta. Alipiga kelele watu wamekimbilia wakijua msiba kumbe mwenzie amemruka miguu, halafu ni mtu mzima kabisa.
Yeye kama haamini afanye jaribo la kuwatunuku kimasikhara, aone kama Kuna atakaye chomoa, SIMBA HAWEZI KUWA SWALAMtoto wa kishua bila shaka. Uzungu mwingi! Ila kaa ukijua kuwa wote hao lengo lao kuu ni kukugegeda tu...na ukizubaa watakugegeda tu. Weka hii kwenye diary yako na uzingatie sana. Given a chance, each one of those niggaz will f*ck u in a fraction of a second!
Men! Always hunting!
Na mwanga wa milele umwangazie, APUMZIKE KWA AMANI.