Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Acha gubu😁😁😁yaani huyu mimi kabisa jamani huwa sipendi mtu aniambie fanya hivi sijui kwa nini yaani...
Unasema?No way
Natamani ingekuwa rahisiAcha gubu![]()

Kazi ipoNatamani ingekuwa rahisi![]()
Kale katachagua chips. No worry



Mchumi wa kwenye makaratasi😔😔Mchumi kabisa![]()
Kuna siku tu katachagua chaiKale katachagua chips. No worry![]()
Hahahhaa CCM eeh. Mega love
Mnasubiri kanalala halafu mnapika ugali wenu kwa amaniKuna siku tu katachagua chai

Kazi kwelikweliMnasubiri kanalala halafu mnapika ugali wenu kwa amani![]()
Bado nam-mind yule boya basi tu...namsoma soma japo wala haelewekiHahahhaa CCM eeh. Mega love


