Wazoefu wa kufuga,huyu anafanya nini hapa?
Huyo anaangalia mtuno wa naniliu!
Team Spirit!
😂😂 maisha ya kujipangia yalivomatamu hivii, hakika sijutii kujipangia
Wee ndoa itakushinda😂😂 maisha ya kujipangia yalivomatamu hivii, hakika sijutii kujipangia
Aah sisi tunaojipangia ndiyo wife material mkuu, tuko vizuri kwenye budgetWee ndoa itakushinda
Ni matamu sana😂😂 maisha ya kujipangia yalivomatamu hivii, hakika sijutii kujipangia
Budget ata mrembo wa darasa la saba anaweza panga vizuri tuuAah sisi tunaojipangia ndiyo wife material mkuu, tuko vizuri kwenye budget
Wewe unahisi ni rahisi una sh 10000 tu afu ni ya kusurvive week nzima, bado bill ya maji hapo, wewe acha hizo bana. Wanaokula kwa mama hawaijui hiyooBudget ata mrembo wa darasa la saba anaweza panga vizuri tuu
Yaani unapika na kula unachojiskia , kuna siku nimefikiria wee nikatamani kutoa kitu cha kuku kama KFC, si nikaingia jikoni aiseee kilichotokea ni KFC ya buza labda😂😂Ni matamu sana
Ukihisi joto unajipunguzia nguo kadri utakavyo..
Njaa ikiuma unajua ukoroge kipi cha fasta fasta
Hata ukichelewa kurudi huna wa kukuuliza uliza
Haina athari kwa mbeleni? Mfano akifanya hivyo mtu wa miaka 25+Ipo kufanya "sajari" unayarejesha yanasmama saa 6