Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Chuma chs pua.. Msonobari haulambwi
FB_IMG_1645857659486.jpg
 
Kama nawaona manabii na mitume watakavyohaha hata kujaribu kumfufua [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2130937

Siku hizi huyo shetani kashindwa ukatili na baadhi ya binadamu, yeye ameishia kuwashangaa na sidhani kama akifa leo ndio maovu yataisha, kuna baadhi ya binadamu walishampindua na kumuondoa madarakani.
 
Back
Top Bottom