Lazima uisheNa usingizi unaisha ili uweze kufuatilia kinachoendelea kwa ukaribu![]()



Brother acha tu. Kule gasuma nilipata tabu sana. Chakula cha pale nilihangaikaUlienda Dutwa kutafuta nini? Ni zile dhahabu za pale ama?
Hizo hazikuwa chapati bali michembe labda. Na ulikosa wenyeji tu. Pale Dutwa kuna kamkahawa kamoja wanapika chapati nzuri sana kiasi kwamba mpaka huwa nazikumbuka![]()
Tuko jukwaa la vituko mitandaoni kakiniSasa huu upuuzi ndo wakumtoa Mbowe!!
Mimi bado nasisitiza,msishadie mambo ya vituko tu yanapoletwa mitandaoni kuhusu hili sakata la Mbowe,anaweza pigwa mvua mkashangaa.
Hao huwa wanaleta tu kile wanachokiona kihoja,but naamini kwenye mgongano wa hoja kwa hoja hamtaona wakipost.