Wenzio hawa hapa. Sijui hata kama watafurahia msosi leo. Tumekuwa watumwa wa hizi simu yaani! [emoji706]Mpweke sana[emoji30][emoji30]
View attachment 2106944
Ukiyaona uwe unanipigia picha mjukuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Basi haka ka msemo ka supa dupa mwenzio kapo kichwani,niliyaonaga mayutong[emoji3][emoji3]aisee nirithishe mali siyo hivi[emoji41]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnamsingiziaWaheshimiwa wakiingia mjengoni. Kwetu sisi wataalamu wa lugha ya picha, kuna mheshimiwa mmoja hapa amevutiwa sana na kitu fulani [emoji16][emoji16]
View attachment 2106955
Usijali,kazi ndogo hiyo....supa dupa,Ukiyaona uwe unanipigia picha mjukuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2106952
Fahali ya macho.Waheshimiwa wakiingia mjengoni. Kwetu sisi wataalamu wa lugha ya picha, kuna mheshimiwa mmoja hapa amevutiwa sana na kitu fulani [emoji16][emoji16]
View attachment 2106955
Kwa mwanamke kweli Muumba Alituweza wanaume dah! Sifa zibakie na Yeye daima [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Fahali ya macho.
Kuna vitu mwanaume huwa apitwii,haya ni moja ya maua tuliletewa tuyaangalie,tuyatathini,tuyaguseee na kuyamiliki na ukiweza vunja mifupa....
We muone hapo Mzee anajichekeshaa
Ati last born wa taifa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji41]View attachment 2106182
Huyo prey hapo pichani alifikaje tumboniUlafi mwingine umepitiliza!
View attachment 2106911
Supa dupa Yutong wallahi [emoji91][emoji91][emoji91][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2106920
Na wewe umo kwenye udereva wa ma Yutong? Mimi nimezeeka yameanza kunielemea. Yaani nikitoka kwenye mechi mwili wote nyang'anyang'a mbavu na kifua vinauma. Kuna hatari ya kuhamia kwenye vitz au vi Corolla aisee [emoji24][emoji24][emoji24]Kaugonjwa kangu akhaa wallahi.... Zhongtong moja matata hii [emoji39][emoji39]