Wenzio hawa hapa. Sijui hata kama watafurahia msosi leo. Tumekuwa watumwa wa hizi simu yaani!

Ukiyaona uwe unanipigia picha mjukuuBasi haka ka msemo ka supa dupa mwenzio kapo kichwani,niliyaonaga mayutongaisee nirithishe mali siyo hivi
![]()















Waheshimiwa wakiingia mjengoni. Kwetu sisi wataalamu wa lugha ya picha, kuna mheshimiwa mmoja hapa amevutiwa sana na kitu fulani
View attachment 2106955


mnamsingiziaUsijali,kazi ndogo hiyo....supa dupa,
Fahali ya macho.Waheshimiwa wakiingia mjengoni. Kwetu sisi wataalamu wa lugha ya picha, kuna mheshimiwa mmoja hapa amevutiwa sana na kitu fulani
View attachment 2106955
Kwa mwanamke kweli Muumba Alituweza wanaume dah! Sifa zibakie na Yeye daimaFahali ya macho.
Kuna vitu mwanaume huwa apitwii,haya ni moja ya maua tuliletewa tuyaangalie,tuyatathini,tuyaguseee na kuyamiliki na ukiweza vunja mifupa....
We muone hapo Mzee anajichekeshaa



Huyo prey hapo pichani alifikaje tumboniUlafi mwingine umepitiliza!
View attachment 2106911


Na wewe umo kwenye udereva wa ma Yutong? Mimi nimezeeka yameanza kunielemea. Yaani nikitoka kwenye mechi mwili wote nyang'anyang'a mbavu na kifua vinauma. Kuna hatari ya kuhamia kwenye vitz au vi Corolla aiseeKaugonjwa kangu akhaa wallahi.... Zhongtong moja matata hii![]()


