Huwajui wabongo vizuri,kakwambia nanii akiwa na shida,kukuomba msaada ndio anakujalii?! Madeni tu kulipa mziki,ndio aposti biashara yakoo??
Hizo ni hatua..Benki kuu yao bado ipo Ufaransa.
Ni ngumu sana kwa francophone countries to disentangle from the yokes of France's control.
Miali ya jua, upepo na vumbi.Hivi ni kwaniniView attachment 2106049
Miali ya jua, upepo na vumbi.
Macho yakizoea miwani ukiyatoa hali huwa hivyo


nimeelewa sasa,nimeacha kuvaa miwani,naambiwa macho yangu yamukuwa madogo
SingleJamani
Funguka