Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Mkuu kumbe umeanza zamani


Ndiyo kamanda. Nimeanza kupigwa na vitu vizito kichwani tangu utotoni!
Mkuu kumbe umeanza zamani


Ndiyo kamanda. Nimeanza kupigwa na vitu vizito kichwani tangu utotoni!Si wapande kwenye hicho kilima ambacho hakina moto?
Unapafahamu Bariadi wewe? Nikuitie mtu wa huko uende ukamtembelee? Hutarudi kwenu!Kwetu bariadi,tunakula tunda na samaki ya yoyoView attachment 2096314



Niitie fastaUnapafahamu Bariadi wewe? Nikuitie mtu wa huko uende ukamtembelee? Hutarudi kwenu!
Leo naona umeamka na kiranga cha Wasukuma kulikoni? Umepigwa chini na Msukuma nini?
Leo naona umeamka na kiranga cha Wasukuma kulikoni? Umepigwa chini na Msukuma nini?
View attachment 2096343