Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,839
- 7,924
Kawabadilisha rangi[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hahahhahahhagag[emoji16][emoji16]View attachment 2090259
Hahahhahahah! Je, ukinikosa kwetu n unasubir m0k nirud hahahahah[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]View attachment 2090265
Hahahahahh najiona me, yaan swez choma mahind aki hahahhahahahaha! Pakiiva tu me nakula hahhh
Hii kitu ipo na inaendelea kuwepo, yaan kuna muda huna hata hamsini.......aki bora uhai[emoji4]
N ww umechaguliwa kama mfano hahahhahhahahhahahhahahh
Kabsa yan sm yangu ikiisha charge naona na me nmeishiwa charge
HahahhahahahahhahahKwan we Nani Toto Zuri[emoji2957][emoji2957]View attachment 2090656
Hhahahahahh! Hongera kwa wale waliofanikisha hilo......
HahahahahhahahahaUshindweee. Kidogo nijitoe kwenye group [emoji16][emoji16][emoji16]
Ahhahahahahhahha aki hu n uchoyo
Me kukuakiwa ameiva vyeeema, namaliza kuku mzma aki hahahah sema wanikatie katie [emoji4][emoji4][emoji4]
Hapo utakuta wameweka injin ya scania yan vurugu vurugu mingiNa injini ndo ile ile inayokuja na gari au wameeka ingine[emoji16][emoji16]watanzania waharibifu kweli
Hahahhhahahhaha! Mume n wa wote mke n wa mtu moja[emoji848]View attachment 2090817
Miskolo hahhaaahahhahahahahah
HahaahahahahahahaChizi moja aliiba simu dukani, akakamatwa, lakini mwenye duka akaamua kumuachia simu maana alijua chizi hawezi kutumia smartphone ile ya macho matatu.
Na kweli cha kuchekesha chizi si kaanza kubonyeza simu, kabonyeza we kabonyeza we kabonyeza we .... Read more
Hahahahahhaah me nlista kubonyeza hahahahahNimebonyeza mara mbili ndio niashtuka [emoji1787][emoji1787]