siyo Mange Kimambi kweli huyo???
Kupata watoto siyo jinai ya kukosa mume.Huyo mshkaji ni mbongo movie, sijui kama wapo serious hapo au ndiyo acting.
Huyo dada nilisikiliza interview yake Clouds; kama nakumbuka vizuri aliishi na mwanaume ile sogea tukae na kubahatika kupata watoto wawili, ila wakaja kuachana baadaye
[emoji23][emoji23][emoji23]Inaonyesha hapo kwa mtumishi kuna kile kitu unapendaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]Sogea tukae mtumishi [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mfanyie maombi arudi kwenye mstari[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2082953
[emoji123][emoji106]
Mkuu, sijaelewa hii
Mimi ni ....[emoji23]