FB_IMG_1642309674516.jpg
 
Huyo mshkaji ni mbongo movie, sijui kama wapo serious hapo au ndiyo acting.

Huyo dada nilisikiliza interview yake Clouds; kama nakumbuka vizuri aliishi na mwanaume ile sogea tukae na kubahatika kupata watoto wawili, ila wakaja kuachana baadaye
Kupata watoto siyo jinai ya kukosa mume.
Wapo wengi majumbani humu wameolewa baada kuzalishwa.
Kuhusu ukweli wa kuolewa huo anaujua mwenyewe
 
SASA NI NYUMBA KWA NYUMBA KUSAKA MGANGA WA KIENYEJI !!

#Kamera Yetu Yambabatiza Huko Muheza Tanga!

Ni Paul Christian Makonda anayekabiliwa na tuhuma za kuteka, kutesa na kushiriki kupoteza watu akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.

Muda wowote atapandishwa mahakamani, ili kujiokoa ameanza kutangatanga kwa waganga wa kienyeji.

Baada ya kutoka Sumbawanga sasa yupo mkoani Tanga. Ni mguu na njia katika harakati za kutaka kujinasua na tuhuma zinazomkabili.
Screenshot_20220116-085143.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom