siyo Mange Kimambi kweli huyo???
Kupata watoto siyo jinai ya kukosa mume.Huyo mshkaji ni mbongo movie, sijui kama wapo serious hapo au ndiyo acting.
Huyo dada nilisikiliza interview yake Clouds; kama nakumbuka vizuri aliishi na mwanaume ile sogea tukae na kubahatika kupata watoto wawili, ila wakaja kuachana baadaye
Inaonyesha hapo kwa mtumishi kuna kile kitu unapendagaSogea tukae mtumishi
Mfanyie maombi arudi kwenye mstari
Mkuu, sijaelewa hii
Mimi ni ....