Hahaha kwa hiyo watu walikuwa wanapiga tuu na kisepa au huyu mwali🤔Yeye ndie anaefeli, unadhania mpaka anafika umri huo hakuna wanaume walimtongoza akawa anachomoa!
Hahaha kwa hiyo watu walikuwa wanapiga tuu na kisepa au huyu mwali🤔Yeye ndie anaefeli, unadhania mpaka anafika umri huo hakuna wanaume walimtongoza akawa anachomoa!
Sjui n kwann, lkn skopeshag mtu yan labda nikupe kama sadaka kama ipo ndan ya uwezo.......
.



Kumbe migegedo inawachanganya mpaka mnatoa hela zote....jamaa alikuwa anaitendea haki mbususu
Nn tatzo hapa??
Kamwagiwa tindikali huyo. Humuoni alivyokuwa mwanzo na alivyo sasa. Na kamsamehe mkewe wanaishi vizuri tu. Kama ni mimi hapana aisee kama mbwai na iwe mbwai tuNn tatzo hapa??



Ase!!! Kuna watu n wakatili jaman

Ndz n yako, mgomba n wajirani yako.......kes imeisha, nenden kwa amaniWanasheria wasomi mje hapaView attachment 2082355


Kwa uzuri wa sistee bila shaka alipata ma sponsor wengi tu ila maringo yake ndio yamefanya atembee na bango, i guessHahaha kwa hiyo watu walikuwa wanapiga tuu na kisepa au huyu mwali![]()


Inaskitsha sana......Wee guna tuu lakini mtaani ndio tunayaona
Asee! Kwel wat wana mioyo yao, yaan kamwagiwa tndkal na mkewe na bado kamsamehe na wanaish wote.....aseee!Kamwagiwa tindikali huyo. Humuoni alivyokuwa mwanzo na alivyo sasa. Na kamsamehe mkewe wanaishi vizuri tu. Kama ni mimi hapana aisee kama mbwai na iwe mbwai tu![]()
