Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

...and you like it!
IMG_20211220_130446_626.jpg
 
Hii ndiyo Tanzania yetu.

Watatufanyia wangapi ubaya? Je, na watabaki wangapi wa kusifu?
Nitaendelea kufanya kazi muda wote hadharani, na siwezi kujificha maana wana mkono #Mrefu hao jamaa, hivyo sina namna ndipo tulipofikia hapa.

Asante sana mnipa taarifa, yupo karibu hukoooo na wazee

Toka FB
Screenshot_20211221-060317.jpg
 
Hii ndiyo Tanzania yetu.

Watatufanyia wangapi ubaya? Je, na watabaki wangapi wa kusifu?
Nitaendelea kufanya kazi muda wote hadharani, na siwezi kujificha maana wana mkono #Mrefu hao jamaa, hivyo sina namna ndipo tulipofikia hapa.

Asante sana mnipa taarifa, yupo karibu hukoooo na wazee

Toka FBView attachment 2051915
Nani huyo anayefanyiwa ubaya? Zitto? Hata kipindi hiki cha mama?

Unless if you are one of them, mianasiasa hii inajuana. Trust me....and they know what they are doing
 
Back
Top Bottom