Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hi guys, I think November will be the last month for me to be in Tanzania, tutaonana kwa wale ambao tutaweza kuonana coz nimepata green pastures and I will be travelling to England on 6th DECEMBER. I will be gone for FIVE years and i will miss u sana pray for me & I will pray for you too. May God be with you all. Please forward to those who know me, ata mi nimeforwadiwa from those who know me sijui nani anaenda.
Nilitaka kukwambia ukitaka kampani huko ughaibun usinisau mimi hapa kutuma na yakutolea nije huko
 
FB_IMG_1637556902522.jpg
 
Amepona. Si alikuwa JK Heart Institute huyu juzi juzi hapa akisema "Niko 70% perfect you know. Executive Suite kwenye Jakaya Cardiovascular Institute you know. Gharama sana kuwa kwenye Executive suite you know. Vijana chapeni kazi you know. American spirit you know

Nampenda kwa jinsi alivyoamua kuishi maisha yake ukizingatia familia aliyotoka - hata kama ni mtoto wa nje...
Naona kapona maana hiyo amepost leo.
 
Back
Top Bottom