Wewe ulikuwa wapi wakati sisi tukisaka mahitaji mtaa wa Congo mwaka 1920.View attachment 2017762
Kuthbitsha 🤣🤣🤣🤣🤣 iskute n masaki ya buza
Janja ya Mchungaj baada ya kushtukia vogo halifui dafu ktk folen za dar anatujaza ili apate pesa ya kununua chopa angalau ya mtumba
Bàrua ya maombiView attachment 2018094
Nmejiona hapo aseee, zlikuwa n zama za kukumbukwa kwetu sye wahenga.........( me n huyu ameshka kiuno nikiwa na mdg wangu)




Muhenga wa miaka 100 iliyopita.
Ikimaliza chaji ikiwa huko juu inakuwaje?
View attachment 2018130