Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,259
- 3,601
.
Nafrah nikiitwa habibiAlleykhum salaam al-habibi.
HahahahahahU ingwa wetuView attachment 2013691
Watu was dar kwakulalamika hamjambo


Sijawahi tumia. Ila nimesoma machapisho mengi ya AYURVEDA (tradtional indian medicine) kuhusu hii kitu. Huko huwa wanatumia powder ya mbigili kwa kuchanganya na maji, juice au chai.Toa shule mkuu. Kinatumikaje?