Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huowe au huolewe eeeh!?

Walimu wa Kiswahili kazanieni sana matumizi sahihi ya h na irabu za Kiswahili. Siyo Kiingereza kitushinde na Kiswahili pia kha!
2.6993298384371133E18.jpg
 
Mie sina hamu na mwl Ngowi jamani. Hivi kwanini walimu wengi wa hesabu hufundisha kama wanafundisha magenius tupu!! Mie hesabu nilisoma mwisho kidato cha pili.
ndo zao hao

Chakushangaza form 1 na 2 nilikuwa napata daraja A na B,Ila nilichukia hesabu tangu standard 5

Heri yako form 2.bora mathe ya chemistry na physics,kuliko mathe kama mathematics.
 
ndo zao hao

Chakushangaza form 1 na 2 nilikuwa napata daraja A na B,Ila nilichukia hesabu tangu standard 5

Heri yako form 2.bora mathe ya chemistry na physics,kuliko mathe kama mathematics.
Ulianza kuzichukia mapema sana, mie msingi walaa sikuzichukia, nilianza kuzichukia sekondari tena kidato cha pili. Ndio ikawa mwisho kuzisoma.
 
Back
Top Bottom