Hii nimecheka sana aisee,afu hao watu kwa kuwasema wenzao kwamba wanapenda kulala, wakati wao wamenunua mpaka mapajama kuonesha kwamba wapo serious na usingizi



Fasta nilishawaza 'mawazo potofu' so caption ndiyo ikanifanya niangalie 'bila mawazo potofu'.Acha mawazo potofu umbwa ww.View attachment 1998620
Bob.Usimsahau mzee M7View attachment 1998360
Kesi ya uhujumu uchumi inawahusu hawa,wanatuibia sana


Nadhani kuna michezo inafanyika kutupora bundle kibabe