Mwl.RCT
Platinum Member
- Apr 5, 2009
- 15,595
- 22,334
Kwa baadhi ya barabara kwa Dar, Muda wa asubuhi au Jioni, Utatamani Utembee kwa mguu au upate basikeli ya kobe ili uhwahi unakoenda na sio kutumia gari.
Kwa baadhi ya barabara kwa Dar, Muda wa asubuhi au Jioni, Utatamani Utembee kwa mguu au upate basikeli ya kobe ili uhwahi unakoenda na sio kutumia gari.
Sasa huu si ulozi kabisa huu jamaniUkichelewesha kodi huko Sumbawanga.View attachment 1998279
This gender
Baharia angepiga kimoja napo yangekuwa maneno. What do you want?
View attachment 1997409
Ndiyo jinsi milage zinavyojidhihirisha shahiri dhahiri.Ya kwamba....View attachment 1998103