
Jaman huyu mkaka amekosa boxer, na huyu bidada kuvaa sdria amelala n vp mbona anajitesa 🤨Kuna raia ni washenzi sana,mipiga chabo siyo mijitu mizuri.View attachment 1992517
Hahhahahahahahaha jaman hapana s kwa chapat za kijani 🤣🤣🤣🤣🤣Mbeya CityView attachment 1993107
Nimecheka kifala aisee, dah!Mbeya CityView attachment 1993107
Mimi hata akitaka kwenda nayo kanisani kwa kuwa nime download biblia versions zote achukue tu na simu zangu apokee, no worries.
Bob Mugabe, the man and half.