Naam!
Buti%20la%20Jeje%20.jpg
 
Ukitaka kusonga mbele na njiani unajikwaa kwaa ni lazima uangalie mwendo wako na kasoro nyingine.

Baada ya kuboronga ni lazima muulizane mjue dosari zenu.
Kukaa kimya ni kutojitambua.
Una benchi la ufundi limesheni watu wenye sifa, unawalipa vizuri tena kwa wakati.
Una wachezaji wenye sifa, unawalipa vema, wafanyakazi wote wanalipwa kwa wakati.
Kwakweli mkipoteza mechi ni lazima muulizane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom