Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Naam!
Buti%20la%20Jeje%20.jpg
 
Ukitaka kusonga mbele na njiani unajikwaa kwaa ni lazima uangalie mwendo wako na kasoro nyingine.

Baada ya kuboronga ni lazima muulizane mjue dosari zenu.
Kukaa kimya ni kutojitambua.
Una benchi la ufundi limesheni watu wenye sifa, unawalipa vizuri tena kwa wakati.
Una wachezaji wenye sifa, unawalipa vema, wafanyakazi wote wanalipwa kwa wakati.
Kwakweli mkipoteza mechi ni lazima muulizane.
 
Ilishanitokea hii...ila kumbe binti alikuwa anashushiwa kipigo cha kufa mtu na njemba yake mpya...na alilazimishwa kupiga. Kahuruma kaliniingia nilivyoona jinsi alivyochanwa mdomo kwa ngumi japo pia kamoyo kengine kalikuwa kanajichekelesha "mwanakulifind mwanakuliget". Trash [emoji706]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom