Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,208
- 1,077,412
Naam!
Sijui inakuwaje mpaka mwanamke anakufikisha katika steji hii. Ni utamu wa mbususu tu au kuna mengine?
So Mwijaku ni MLAWITI!?Kama ni msemaji sasa Simba wamepata
View attachment 1986514
Mwadventista Msabato baada ya kuachwa
Ukitaka kusonga mbele na njiani unajikwaa kwaa ni lazima uangalie mwendo wako na kasoro nyingine.Mwamedi...
View attachment 1986517
Kuna mgahawa mmoja hapo mjini ukiagiza chakula cha aina hiyo lazima wakujazie.Bugatti bana. Si kwa msosi huu
View attachment 1986521
HahahahahWatu bana
View attachment 1986522
nawe umewahi kufanya hii ?
Ilishanitokea hii...ila kumbe binti alikuwa anashushiwa kipigo cha kufa mtu na njemba yake mpya...na alilazimishwa kupiga. Kahuruma kaliniingia nilivyoona jinsi alivyochanwa mdomo kwa ngumi japo pia kamoyo kengine kalikuwa kanajichekelesha "mwanakulifind mwanakuliget". Trash
Huyu alipindua kiunoHivi walipindua meza au kiti?
View attachment 1986511
The end is the same -Destity is a race of individual