Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Naam!
Sijui inakuwaje mpaka mwanamke anakufikisha katika steji hii. Ni utamu wa mbususu tu au kuna mengine?


. Mwadventista Msabato baada ya kuachwa

Ukitaka kusonga mbele na njiani unajikwaa kwaa ni lazima uangalie mwendo wako na kasoro nyingine.Mwamedi...
View attachment 1986517
Kuna mgahawa mmoja hapo mjini ukiagiza chakula cha aina hiyo lazima wakujazie.
Hahahahah
nawe umewahi kufanya hii ?
Ilishanitokea hii...ila kumbe binti alikuwa anashushiwa kipigo cha kufa mtu na njemba yake mpya...na alilazimishwa kupiga. Kahuruma kaliniingia nilivyoona jinsi alivyochanwa mdomo kwa ngumi japo pia kamoyo kengine kalikuwa kanajichekelesha "mwanakulifind mwanakuliget". Trash![]()





Huyu alipindua kiunoHivi walipindua meza au kiti?
View attachment 1986511
