Hata wakiwamaliza na hao watageukiana wao kwa wao. Ukishakula nyama ya mtu utaendelea tu kuila. Kilisikika kizee kimoja cha Kizanaki kikijisemea huku kikicheka cheka kwa huzuni iliyochanganyika na furaha!
Tupo hapa. Niliiba sigara ya tumbaku ya mzee mmoja hivi na kiberiti chake hiki nikaenda mahali nikawasha eti nipashe weee! Nilipiga pafu moja tu ya nguvu kifua kikabana nikakohoa mfululizo ikabidi waje kutoa msaada. Sijui ilikuwa tumbaku gani ile! Baada ya kutengamaa kibano kikali kikafuatia. Na kutoka siku hiyo sijagusa sigara tena. Kiberiti hicho kina laana wallahi



HahahaTupo hapa. Niliiba sigara ya tumbaku ya mzee mmoja hivi na kiberiti chake hiki nikaenda mahali nikawasha eti nipashe weee! Nilipiga pafu moja tu ya nguvu kifua kikabana nikakohoa mfululizo ikabidi waje kutoa msaada. Sijui ilikuwa tumbaku gani ile! Baada ya kutengamaa kibano kikali kikafuatia. Na kutoka siku hiyo sijagusa sigara tena. Kiberiti hicho kina laana wallahi![]()

Ilishanitokea hii...ila kumbe binti alikuwa anashushiwa kipigo cha kufa mtu na njemba yake mpya...na alilazimishwa kupiga. Kahuruma kaliniingia nilivyoona jinsi alivyochanwa mdomo kwa ngumi japo pia kamoyo kengine kalikuwa kanajichekelesha "mwanakulifind mwanakuliget". Trash

Motivesheno spika bana. Huyo aliye na kiherehere cha kujiivisha mapema si ndo ataliwa mapema? What is the point?
Ametaitiwa vizuri. Hata kama ni feminist hapa hakuna kitu...








