Vituko mitandaoni. Tupia chako

Your days are also numbered...

View attachment 1978013
Huyu jamaa japo mnamsema sana na kumuotea ila sioni kikubwa kwake, kando na tukio la kuvamia kituo cha habari hamna kingine kikubwa alichonaswa kwenye CCTV, alikua mjanja na inaonekana alikua na washauri wazuri wa namna ya kuwa discrete.
Dogo Mmaasai alikua na ushamba na ubabe wa Kimaasai kwa kuweka vyote bayana, sasa naona bado mnafungua kesi zaidi, mtoto wa watu atateseka sana gerezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…