Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Huyu alishanikataa zaidi ya mara 4. Anasema eti mi furushi. Hovyo tu yaani [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]Espy atakufaa sana mahari napokea mwenyewe na kama huna basi nakugawia bure tu [emoji16][emoji16]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3061][emoji3061][emoji3061]View attachment 1978047
.Aisee Kwahio tulipigwa?mchumba halisi ni yupi sasa?
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Umenikumbusha lile daraja pale rock city mall [emoji85][emoji85][emoji85]Kungekuwa na flyover Wanyaki wangekuwa wanajazana hapo na hata kukanyagana hovyo na kurestishana ini pisi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Njoo nikuzalie wewe, acha kudengua. Wahi kabla haijaja saa.Huyu alishanikataa zaidi ya mara 4. Anasema eti mi furushi. Hovyo tu yaani [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Kumbe ndio maana unatafuta zile mbegu za manini sijui[emoji2297]Nasaka mke wa tatu bageshi. First born wetu anao wanne. Mimi nataka nikomee watatu. Kama kuna kabinti ka Kisukuma huko at least 35+ nifanyie connection nkoyi...Nakūlūmba no no no [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Karibu Misungwi mjini ukipata nafasi bageshi. Ulizia kwa mzee Shimba yule mkulima maarufu wa dengu na nyanya.
Ubinti ni kama maua tu,yanachanua na kunyauka.shida ya watoto wa kike ni hapo tuu. Akisha ambiwa kuwa yeye mzuri basi wote ndani ya nyumba anawaona maboya tuu
Hapo nakuunga mkono, ukioa mnyaki tuna uhakika ufurushi unaenda kukuisha rasmi. Maana hawataki mchezo mchezo.Na ili kukata mzizi wa fitina nimeshaapa kuwa mke wangu wa tatu lazima awe Mnyaki.
Mke wa kwanza Msukuma [emoji818]
Mke wa pili Mnyiramba [emoji818]
Mke wa tatu Mnyaki....[emoji848][emoji848][emoji848]
Asante,Kumbe ndio mchumba wa Jambazi