Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kumbe ndio maana unatafuta zile mbegu za manini sijui[emoji2297]
 
Na ili kukata mzizi wa fitina nimeshaapa kuwa mke wangu wa tatu lazima awe Mnyaki.

Mke wa kwanza Msukuma [emoji818]

Mke wa pili Mnyiramba [emoji818]

Mke wa tatu Mnyaki....[emoji848][emoji848][emoji848]
Hapo nakuunga mkono, ukioa mnyaki tuna uhakika ufurushi unaenda kukuisha rasmi. Maana hawataki mchezo mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…